Amazon cover image
Image from Amazon.com

Hawala ya fedha / Amandina Lihamba.

By: Material type: TextTextSeries: (Michezo ya Kuigiza)Publication details: Dar es Salaam : Mkuki na Nyota, c2017.Description: 66p. ; 19cmISBN:
  • 9789987753918
Subject(s): DDC classification:
  • 22nd ed. 896.392 LIH
Summary: Tamthilia hii, ambayo inatokana na riwaya, The Money Order, iliyoandikwa na mwandishi mashuhuri wa Senegal, Sembene Ousmane, inajadili mfumo wa umangi–meza uliorithiwa na nchi nyingi za Afrika kutoka kwa Wakoloni pamoja na athari zake kwa jamii. Ibrahim Chande anafurahi sana anapopokea hawala ya shilingi 2,000/= kutoka kwa mpwaye aliyeko masomoni Landani. Lakini anashindwa kuzuia habari hizo nzuri kuwafikia majirani na watu wenye maduka mtaani kwao. Wote wanamzengea wakitazamia chochote kutokana na fedha hizo, licha ya kwamba zote si zake. Hata hivyo, matatizo ya urasimu yanajiingiza kati yake na fedha hizo.
Tags from this library: No tags from this library for this title. Log in to add tags.
Star ratings
    Average rating: 0.0 (0 votes)
Holdings
Item type Current library Collection Call number Status Barcode
Books Books CUoM Library General Stacks Literature/Kiswahili Fasihi 896.3922 LIH (Browse shelf(Opens below)) Available 00010542
Books Books CUoM Library General Stacks Literature/Kiswahili Fasihi 896.3922 LIH (Browse shelf(Opens below)) Available 00014101
Books Books CUoM Library General Stacks Literature/Kiswahili Fasihi 896.3922 LIH (Browse shelf(Opens below)) Available 00014102

Tamthilia hii, ambayo inatokana na riwaya, The Money Order, iliyoandikwa na mwandishi mashuhuri wa Senegal, Sembene Ousmane, inajadili mfumo wa umangi–meza uliorithiwa na nchi nyingi za Afrika kutoka kwa Wakoloni pamoja na athari zake kwa jamii. Ibrahim Chande anafurahi sana anapopokea hawala ya shilingi 2,000/= kutoka kwa mpwaye aliyeko masomoni Landani. Lakini anashindwa kuzuia habari hizo nzuri kuwafikia majirani na watu wenye maduka mtaani kwao. Wote wanamzengea wakitazamia chochote kutokana na fedha hizo, licha ya kwamba zote si zake. Hata hivyo, matatizo ya urasimu yanajiingiza kati yake na fedha hizo.

There are no comments on this title.

to post a comment.
Share

CUoM © 2024. Catholic University of Mbeya.
P.O. Box 2622, Mbeya, Tanzania.
Phone: +255 252 504 240 | library@cuom.ac.tz | info@cuom.ac.tz|
Powered by Koha. Installed, Configured, and Customized by CUoM Library Staff, Technical Section