Hawala ya fedha / Amandina Lihamba.
Material type:
- 9789987753918
- 22nd ed. 896.392 LIH
Item type | Current library | Collection | Call number | Status | Barcode | |
---|---|---|---|---|---|---|
![]() |
CUoM Library General Stacks | Literature/Kiswahili Fasihi | 896.3922 LIH (Browse shelf(Opens below)) | Available | 00010542 | |
![]() |
CUoM Library General Stacks | Literature/Kiswahili Fasihi | 896.3922 LIH (Browse shelf(Opens below)) | Available | 00014101 | |
![]() |
CUoM Library General Stacks | Literature/Kiswahili Fasihi | 896.3922 LIH (Browse shelf(Opens below)) | Available | 00014102 |
Tamthilia hii, ambayo inatokana na riwaya, The Money Order, iliyoandikwa na mwandishi mashuhuri wa Senegal, Sembene Ousmane, inajadili mfumo wa umangi–meza uliorithiwa na nchi nyingi za Afrika kutoka kwa Wakoloni pamoja na athari zake kwa jamii. Ibrahim Chande anafurahi sana anapopokea hawala ya shilingi 2,000/= kutoka kwa mpwaye aliyeko masomoni Landani. Lakini anashindwa kuzuia habari hizo nzuri kuwafikia majirani na watu wenye maduka mtaani kwao. Wote wanamzengea wakitazamia chochote kutokana na fedha hizo, licha ya kwamba zote si zake. Hata hivyo, matatizo ya urasimu yanajiingiza kati yake na fedha hizo.
There are no comments on this title.